Mgombea mwenza Dr. Mohammed Gharib Bilali alihitimisha wiki ya UWT katika viwanja vya Mwinjuma kata ya Makumbusho, Kinondoni.alisema Chama Cha Mapinduzi kinajivunia umoja huo wa UWT kwani ni moja ya nguzo imara katika chama hicho.
Dr. Mohammed Gharib Bilali akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe Mh. Angela Kizigha katika uwanja wa mkutano wa wiki ya wanawake UWT uliofanyika kinondoni uwanja wa Mwinjuma.
Dr. Mohammed Gharib Bilal akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni Mh. Iddi Azzan wakati wa kuhitimisha wiki ya UWT.Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo Mh. Hawa Ngumbi akinadiwa na Dr Mohammed Gharib Bilali katika wiki ya wanawake ya UWT.
Ndugu Leila Seif ambaye alikuwa Mjumbe wa baraza la wanawake Taifa kupitia Chama cha CUF arudisha kadi CCM kwa Mheshimiwa Dr. Mohammed Gharib Bilal. wakati wa mkutano wa UWT, uliofanyika viwanja vya Mwinjuma, Kinondoni.
No comments:
Post a Comment