Mhe.Dr.Jakaya Mrisho akihutubia kawe, awaomba wananchi kuichagua CCM kwa kuwa iliahidi na ikatekeleza.katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika viwanja vya Tanganyika Packers huko Kawe.
Mhe.Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akimnadi Mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Kawe Mhe.Angela Charles Kizigha katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika viwanja vya Tanganyika Packers huko Kawe.
Mhe.Angela Charles Kizigha akiwaomba ridhaa Wananchi wa Jimbo la kawe kukichagua chama cha Mapinduzi , pia aliwaambia Wananchi watakapo mchagua atajenga hospital kwa ajili ya jimbo hilo, akitoa mfano kwa mbunge iddi Azzan anayo Hospitali ya Mwananyamala ipo katika Jimbo lake la Kinondoni, kwa hiyo na yeye atajenga ili kuipunguzia mzigo Hospitali hiyo.
Mhe.Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akimnadi Bw. Othman, Mgombea Udiwani wa kata ya kawe kwa niaba ya madiwani wote wa Jimbo hilo la Kawe.


ambaye pia alitangaza kujiengua CUF
Wah. Juma Othman Juma na Fatma Maghimbi wakifurahia kujiunga na CCM.


Mhe.Angela Kizigha akizungumza kitu na Mgombea Udiwani wa kata ya Makumbusho Ndugu. Mutayoba.(Kusho kwenye Picha).
Mhe.Angela Kizigha akiwa katikati ya kundi la watu baada ya Mkutano kumalizika.
Watu walikuwa Nyomi hapatoshi.
No comments:
Post a Comment